Mtapenda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Kata ya Mtapenda
Nchi Tanzania
Mkoa Mkoa wa Katavi
Wilaya Wilaya ya Mlele
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 4,811

Mtapenda ni moja kati ya Kata 12 za Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo iliyoko Wilaya ya Mpanda , katika Mkoa wa Katavi, Tanzania.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 4,811 waishio humo.[1]

Ni kata yenye mchanganyiko wa wakazi wanaozungumza lugha mbalimbali kama vile Kifipa, Kibende, Kirwila, Kikonongo na nyinginezo, ila Wafipa ndio waliotawala sana maeneo haya.

Kijiji cha Mtapenda kina idadi kubwa ya wanywaji wa pombe ya kienyeji.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Katavi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.
Kata za Wilaya ya Mlele - Mkoa wa Katavi - Tanzania

Ikuba * Ilela * Ilunde * Inyonga * Itenka * Kapalala * Kasansa * Kasokola * Kibaoni * Litapunga * Machimboni * Magamba * Majimoto * Mamba * Mbede * Mtapenda * Mwamapuli * Nsenkwa * Nsimbo * Sitalike * Ugala * Urwila * Usevya * Utende