Mpupu (Fabaceae)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mpupu
(Mucuna pruriens)
Mpupu
Mpupu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Nusufamilia: Faboideae (Mimea inayofanana na mharagwe)
Jenasi: Mucuna
Adans.
Spishi: M. pruriens
(L.) DC.

Mipupu ni mimea yenye nywele zinazowasha au zinazochoma. Ile ya nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae (miharagwe) ni aina ya mharagwe unaotoa majani machanga na makaka yenye nywele zinazowasha. Makaka na mbegu zake huitwa upupu. Mpupu hukuzwa sana kama gubiko la udongo ili kuzuia magugu na kukauka. Mimea iliyokomaa hulimwa mara nyingi katika udongo kama mbolea kijani. Upupu huliwa pengine, hasa wakati wa njaa.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mpupu (Fabaceae) kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.