Moses wa Psammaniu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Moses wa Psammaniu (alifariki Antinoe, Misri, 305 hivi) alikuwa padri aliyefia imani yake pamoja na Wakristo wengine 3687 wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].

Tangu kale wote hao wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 25 Septemba.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. The text of their Passion exists in both Sahidic and Bohairic Coptic and fragments can be found at the National Library, Vienna, Wiener Papyrussammlung, K2563 a-l, ed. Orlandi, 1974, the National Library, Paris, Copte 129.16.104 and the Vatican Library, Rome, Copti 63, fols. 1-65, ed. Hyvernat, 1886-1887.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Holweck, F. G. A Biographical Dictionary of the Saint. St. Louis, MO: B. Herder Book Co. 1924.
  • Orlandi, T. "Ter and Erai, Saints." Claremont Coptic Encyclopedia. Claremont: Claremont Colleges. 1991

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.