Mnjegere-kubwa
Mnjegere-kubwa (Cicer arietinum) |
||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Mnjegere-kubwa wenye maua na makaka
|
||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Mnjegere-kubwa (Cicer arietinum) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae unaopandwa katika maeneo ya tabianchi yabisi na moto. Mbegu zake huitwa njegere kubwa na huzaliwa katika makaka.