Mlimani City

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlango wa kusini wa maduka ya Mlimani City

Mlimani City ni duka kubwa lililopo katika barabara ya Sam Nujoma, Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam, Tanzania.

Ni moja ya maduka makubwa zaidi nchini Tanzania, yenye eneo la ukubwa wa mita za mraba m2 30 000 (sq ft 320 000). Sherehe ya ufunguzi ilikuwa Novemba mwaka 2006. Ni duka la kwanza nchini Tanzania lenye viyoyozi.

Mlimani City hupatikana maduka kadhaa ya rejareja, migahawa, na majumba ya sinema. Miongoni mwa maduka hayo ni maduka pendwa ya Afrika Kusini na India kama Choppies ambayo kwa hakika yanapatikana nchini Botswana na kwa Mr. Price.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]