Mkoa wa Sanaag


Sanaag (kwa Kisomali: Sanaag, kwa Kiarabu: سناج) ni mkoa (gobol) uliopo kusini mwa Somaliland, ni kati ya mikoa inayojitegemea kiutawala ndani ya Somalia.[1]
Sanaag ina pwani ndefu inayoangalia Ghuba ya Aden kwa upande wa kaskazini, na imepakana na mikoa ya Somaliland ya Woqooyi Galbeed, Togdheer, Sool na Bari.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Somalia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Sanaag kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |