Mikronesia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Visiwa vya Mikronesia

Mikronesia ni eneo la Bahari ya Pasifiki. Ni moja kati ya makundi makubwa matatu ya visiwa vya Pasifiki pamoja na Melanesia na Polynesia.

Jina limeundwa na maneno ya Kigiriki ya νῆσος (kisiwa) na μικρος (kidogo) yaani "visiwa vidogo". Mpelelezi na nahodha Mfaransa Jules Dumont d'Urville alitunga jina hili 1832 kwa kuweka uzito kwa udogo wa visiwa hivi vinavyozidi 2,000.

Mikronesia iko upande wa mashariki wa Ufilipino na upande wa kaskazini ya Guinea Mpya na Melanesia to the south, halafu magharibi ya Polynesia. Eeno lake ni klaskazini ya ikweta.

Nchi za Mikronesia[hariri | hariri chanzo]

Kisiasa kuna maeneo nane katika Mikronesia:

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.