Matetereka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Kata ya Matetereka
Nchi Tanzania
Mkoa Ruvuma
Wilaya Madaba
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 4,730

Matetereka ni kata ya Wilaya ya Madaba katika Mkoa wa Ruvuma, Tanzania.

Kijiji cha Matetereka kinasemekana kuna mabaki ya mwisho wa Ruvuma Development Association (RDA) baada ya kufutwa kwake na serikali mnamo mwaka 1969.

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 4,730 [1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Madaba - Mkoa wa Ruvuma - Tanzania

Gumbiro | Lituta | Mahanje | Matetereka | Matumbi | Mkongotema | Mtyangimbole | Wino

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Ruvuma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Matetereka kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.