Masimo wa Pavia
Mandhari
Masimo wa Pavia (karne ya 5 - 514) alikuwa askofu wa mji huo wa Italia Kaskazini[1].
Alishiriki mitaguso iliyofanyika Roma chini ya Papa Simako.[2]
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/36700
- ↑ St. Maximus Catholic Online, http://www.boston-catholic-journal.com/roman-martrylogy-in-english/roman-martyrology-january-in-english.htm#January_8th Ilihifadhiwa 11 Mei 2020 kwenye Wayback Machine.
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |