Mashimba Mashauri Ndaki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mashimba Mashauri Ndaki ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Maswa Magharibi kwa miaka 20152020. [1] Mwaka 2020 alichaguliwa na Rais John Magufuli kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi nchini Tanzania.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017