Marselino wa Ancona

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Marselino wa Ancona (alifariki 9 Januari katika karne ya 6) alikuwa askofu wa mji huo wa Italia ya Kati[1].

Papa Gregori I aliandika askofu huyo alivyookoa mji wake katika hatari ya moto kuuteketeza.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Januari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Cfr. Abate Antonio Leoni anconitano, "Istoria d'Ancona, capitale della Marca Anconitana", Tipografia Baluffi, Ancona, 1810, volume II, capitolo XV, pagg.27-31, visibile in Google books.
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.