Nenda kwa yaliyomo

Maria wa Mt. Natalia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Maria wa Mt. Natalia (jina la awali Jeanne Marie Guerguin; alizaliwa Belle-Isle-en-Terre, Côtes-du-Nord, Ufaransa, 4 Mei 1864) alikuwa sista wa shirika la Wafransisko Wamisionari wa Maria aliyefia dini China alipokuwa mmisionari wakati wa Uasi wa Mabondia.

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini pamoja na wenzake 119.

Sikukuu yao huadhimishwa kila mwaka tarehe 9 Julai[1], siku alipouawa mwaka 1900 huko Taiyuan, Shanxi, China.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Sala ya Kanisa ya Ki-fransisko - Benedictine Publications Ndanda - Peramiho, 1996, uk. 173-176
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.