Nenda kwa yaliyomo

Manekilde

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kikanisa na sanamu yake.

Manekilde (pia: Manechildis, Manehould, Ménehould; Perthes, Ufaransa, karne ya 5 - Bienville, Ufaransa, 490/500) alikuwa bikira Mkristo aliyejitoa kwa Mungu pamoja na dada zake wote 6[1] kumpitia askofu Alpino wa Chalons[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Oktoba[3].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.