Makumbusho ya Nayuma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Makumbusho ya Nayuma ni makumbusho yanayopatikana katika jiji la Mongu, mkoa wa Magharibi, nchini Zambia.

Makumbusho hayo ni kwa ajili ya kukuza sanaa na kazi za kisanii ya Balotseland hasa. [1]

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Makumbusho ya Nayuma kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.