Makumbusho ya Taifa ya Lusaka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Makumbusho ya Taifa ya Lusaka ni makumbusho yanayopatikana katika jiji la Lusaka nchini Zambia yakiwa yanabeba historia na utamaduni wa taifa hilo.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Ujenzi wa makumbusho hayo ulianza mwaka 1980, nayo yalifunguliwa rasmi mwezi Oktoba mwaka 1996. Malengo ya mwanzo yalikuwa ni kuelezea historia ya vita baridi vya uhuru wa Zambia lakini baadaye, wakati wa kufunguliwa kwa makumbusho hayo, mawazo yalibadilika na kuwa sehemu ya kuelezea uhuru na utamaduni [1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "About Lusaka Museum". 2015-02-07. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-01-17. Iliwekwa mnamo 2018-01-20.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Makumbusho ya Taifa ya Lusaka kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.