Makari wa Aleksandria (mfiadini)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Makari wa Aleksandria (alifia dini 250 hivi) alikuwa Mkristo wa mji huo (nchini Misri) ambaye aliuawa kikatili wakati wa dhuluma ya kaisari Decius. Inasemekana alikatwa kichwa au kwa hakika zaidi alichomwa moto.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Desemba[1], lakini pia 30 Oktoba[2], kama si watu wawili tofauti[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.