Majadiliano ya mtumiaji:Innocent Massawe

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

Hongera kwa michango yako ya kusahihisha vizuri Kiswahili cha makala mbalimbali. Kuhusu shule za Tanzania, sijui kama zote zina sifa za kustahili kuwa na ukurasa katika kamusi elezo hii. Ngoja tujadiliane kabla hujaendelea na kutunga kurasa za namna hiyo. Amani kwako! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 10:41, 21 Agosti 2019 (UTC)[jibu]
Naomba tena usubiri jibu la Kipala tusije tukafuta kurasa zako ukawa umefanya kazi bure. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 10:52, 21 Agosti 2019 (UTC)[jibu]
Kuhusu shule nashauri tusipokee zote. Naona hapa tufuate mashariti ya kimsingi ya umaarufu, kama vile Wikipedia:Umaarufu#Kanuni_ya_kimsingi_kuhusu_umaarufu_kwenye_Wikipedia: Mada (au mtu) inastahili makala kama masharti matatu yanatimizwa:
  • imeshajadiliwa katika jamii kwa kiwango fulani (si mara ya kwanza hapa wikipedia!)
  • katika vyanzo vinavyoweza kutegemewa (si facebook, twita, tovuti ya binafsi tu)
  • tena vyanzo visivyotungwa na wenyewe (si tovuti ya wenyewe, matangazo yao).
Maana kama hatuna ushuhuda nje ya facebook au tovuti ya wenyewe au kutajwa kwa jina tu katika orodha fulani - hatuna umaarufu wa kutosha. Nashauri usiendelee kuunda makala hizi pasipo na ushuhuda imara zaidi. Kipala (majadiliano) 18:21, 21 Agosti 2019 (UTC)[jibu]
Ndugu, hongera kwa michango yako, ila usipende kufuta yaliyoandikwa tayari, bali uyaongezee. Kwa mfano katika ukurasa "Golikipa", pamoja na mengine, umefuta "jamii" upande wachini. Amani kwako! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 11:25, 10 Oktoba 2019 (UTC)[jibu]