Magnus wa Anagni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa ukutani katika kanisa kuu la Anagni.

Magnus wa Anagni (Trani, mwishoni mwa karne ya 2 - Ceccano, Lazio, Italia, 19 Agosti 251) alikuwa askofu wa Trani[1] ambaye alikimbia mji huo kutokana na dhuluma ya kaisari Decius lakini, baada ya kuinjilisha eneo la kusini mwa Lazio ya leo, alifia dini yake [2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Agosti [3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Spoekler, Rev. Bernard A. "1853-1953: The Centenary of the Church of Saint Martin of Tours, Louisville, Kentucky." St. Martin of Tours Catholic Church, Louisville, 1953.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.