Nenda kwa yaliyomo

Magamaga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Magamaga
Magamaga mbavu-kahawia
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Sylvioidea (Ndege kama kucha)
Familia: Cisticolidae (Ndege walio na mnasaba na videnenda)
Sundevall, 1872
Nusufamilia: Priniinae
Roberts, 1922
Jenasi: Prinia
Horsfield, 1821
Ngazi za chini

Spishi 26, 11 katika Afrika:

Magamaga ni ndege wadogo wa jenasi Prinia katika nusufamilia Priniinae ya familia Cisticolidae. Wanafanana na videnenda lakini mkia wao ni mrefu zaidi na hawana michirizi mizito. Karibu na nusu ya spishi hutokea Asia lakini spishi zote nyingine hutokea Afrika. Hawa ni ndege wa maeneo wazi yenye nyasi ndefu na vichaka. Hula wadudu. Hulijenga tago lao kwa umbo wa kikombe ndani ya nyasi au kichaka karibu na ardhi. Mara nyingi tago limefunika. Jike huyataga mayai 2-5.

Spishi za Afrika

[hariri | hariri chanzo]

Spishi za Asia

[hariri | hariri chanzo]