Nenda kwa yaliyomo

Matokeo ya utafutaji

Showing results for warangi. No results found for Waran18.
Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)
  • Thumbnail for Warangi
    Warangi ni mojawapo kati ya makabila yanayopatikana katika wilaya ya Kondoa, mkoa wa Dodoma, mji ambao ndiyo makao makuu ya nchi ya Tanzania. Kirangi...
    4 KB (maneno 447) - 09:07, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Kisu cha Warangi
    Kisu cha Warangi ni kifaa cha chuma. Kwa Kirangi huitwa "lʉfyo" kwa jumla, au kama ni maalum, huitwa “nyaasʉka”. Kisu cha Warangi kilikuwa na makali pande...
    726 bytes (maneno 75) - 08:36, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Shikilio la Warangi
    Shikilio la Warangi ni mti uliokaa panda. Kwa Kirangi huitwa "ntambarɨko". Mti huo ulitumika kwa kubana chungu (yaani kukizuia) wakati wa kupika chakula...
    930 bytes (maneno 93) - 08:42, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Baragumu ya Warangi
    Baragumu ya Warangi ni aina ya upembe wa mnyama uliokatwa pande zote, ndiyo baragumu au mbiu inayotumiwa katika utamaduni ya Warangi. Kwa Kirangi huitwa...
    971 bytes (maneno 94) - 09:14, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Ngoma ya Warangi
    Ngoma ya Warangi ni aina ya ngoma ilitengenezwa kwa ngozi ya mnyama wa porini hasa dikidiki. Kwa Kirangi huitwa "ntangasa". Ngoma hiyo hutumika wakati...
    622 bytes (maneno 59) - 09:40, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Kinu cha Warangi
    Kinu cha Warangi ni aina ya chombo ambacho hutengenezwa kwa mti. Kwa Kirangi huitwa "kʉnyu". Kinu hutumika kwa kutwangia nafaka ili kuondoa makapi, maganda...
    589 bytes (maneno 55) - 10:43, 31 Julai 2019
  • Thumbnail for Kihori cha Warangi
    Kihori cha Warangi ni aina ya chombo kinachotengenezwa kwa mti. Kwa Kirangi huitwa "mʉlaambo". Chombo hicho hutumika kuwekea maji, kulowekea mtama na...
    648 bytes (maneno 54) - 09:13, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Kipekecho cha Warangi
    Kipekecho cha Warangi kilichongwa kutokana na mti. Kwa Kirangi huitwa "lʉfire". Hutumika kwa kupekechea uji, ugali, au maziwa yaliyoganda. Kipekecho cha...
    637 bytes (maneno 55) - 08:40, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Kirindo cha Warangi
    Kirindo cha Warangi ni aina ya ghala ya nafaka. Kwa Kirangi huitwa "kɨome". Chombo hicho kilikuwa hutengenezwa na magome ya miti, na kilitumika hasa kuhifadhi...
    613 bytes (maneno 58) - 06:17, 26 Oktoba 2017
  • Thumbnail for Jembe la Warangi
    Jembe la Warangi ni aina ya chombo kilichotengenezwa kwa chuma kwa kutumia ufundi wa jadi. Kwa Kirangi huitwa "isɨrɨ". Jembe lilitumika kwa kulimia. Jembe...
    611 bytes (maneno 57) - 10:41, 31 Julai 2019
  • Thumbnail for Sagio la Warangi
    Sagio la Warangi ni aina ya kifaa kilichotengezwa kutokana na mawe. Kwa Kirangi huitwa "lwaala". Sagio lilitumika kwa kusagia nafaka ili kupata unga....
    607 bytes (maneno 58) - 10:43, 31 Julai 2019
  • Thumbnail for Upawa wa Warangi
    Upawa wa Warangi ni aina ya chombo cha kuchotea hasa pombe. Kwa Kirangi huitwa "ndʉvo". Chombo hicho kilitokana na aina fulani ya maboga au mamumunya...
    621 bytes (maneno 61) - 08:56, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Sanduku la Warangi
    Sanduku la Warangi ni aina ya kibuyu kikubwa kilichokatwa mdomo mkubwa. Kwa Kirangi huitwa iduunde. Kibuyu hicho kilitumika kwa kuwekea dawa hasa zilizotumika...
    712 bytes (maneno 68) - 08:41, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Shoka la Warangi
    Shoka la Warangi ni aina ya kifaa ambacho hutengenezwa kwa chuma na mpini wa mti. Kwa Kirangi huitwa "chaárya" kwa jumla, na “siraanga” kama ni maalum...
    687 bytes (maneno 68) - 08:46, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Tungu la Warangi
    Tungu la Warangi ni aina ya kibuyu cha wastani. Kilitumika kwa kuchekechea maziwa yaliyoganda ili kutenganisha maziwa mgando (yaani mtindi) na samli (mafuta...
    695 bytes (maneno 68) - 10:29, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Kibuyu kikubwa cha Warangi
    Kibuyu kikubwa cha Warangi ni aina ya kibuyu cha kuwekea maji, pombe au mbegu ya nafaka. Kwa Kirangi huitwa "sʉa". Yovin Maingu na Brunhilde Bossow, 2006...
    555 bytes (maneno 49) - 10:41, 31 Julai 2019
  • Thumbnail for Chombo cha tumbaku cha Warangi
    Chombo cha kuwekea tumbaku cha Warangi ni kwa ajili ya tumbaku iliyosagwa. Kwa Kirangi huitwa "súse". Chombo hicho kilikuwa hutengenezwa kutokana na pembe...
    712 bytes (maneno 68) - 09:14, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Chombo cha kukamulia cha Warangi
    Chombo cha kukamulia cha Warangi ni chombo kama kinu kidogo. Kwa Kirangi huitwa "kɨremo". Chombo hicho hutengenezwa kwa mti laini. Hutumika kwa kukamulia...
    716 bytes (maneno 71) - 10:44, 31 Julai 2019
  • Thumbnail for Bangili ya Warangi
    Bangili ya Warangi ni aina ya pambo la kuvaa mkononi. Kwa Kirangi huitwa "ikéénke". Pambo hilo lilivaliwa hasa na akina Baba. Linatengenezwa kutokana...
    2 KB (maneno 121) - 09:15, 13 Januari 2024
  • Thumbnail for Kibuyu kidogo cha Warangi
    Kibuyu kidogo cha Warangi ni aina ya kibuyu chenye shingo. Kwa Kirangi huitwa "mʉʉmbʉ". Kibuyu hicho kilitumika kuwekea dawa, maziwa, pombe na kadhalika...
    1 KB (maneno 98) - 08:28, 13 Januari 2024
Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)