Leonardi wa Limoges

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Leonardi wa Limoges (496 - alifariki karibu na Limoges, leo nchini Ufaransa, 559 hivi) alikuwa mkaapweke kwa sehemu kubwa ya maisha yake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa kila tarehe 6 Novemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Guibert, Louis La commune de Saint-Léonard-de-Noblat au XIIIe siècle. Limoges, 1890 (reprinted 1992) (Kifaransa)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.