Antili Ndogo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: gl:Antillas Menores
Mstari 54: Mstari 54:
[[fi:Pienet Antillit]]
[[fi:Pienet Antillit]]
[[fr:Petites Antilles]]
[[fr:Petites Antilles]]
[[gl:Antillas Menores]]
[[he:האנטילים הקטנים]]
[[he:האנטילים הקטנים]]
[[hr:Mali Antili]]
[[hr:Mali Antili]]

Pitio la 04:12, 8 Oktoba 2007

Antili Ndogo ni sehemu ya kusini ya pinde la visiwa vya Karibi

Antili Ndogo ni kikundi cha visiwa vidogo katika Atlantiki mbele ya pwani la Amerika ya Kati. Ni sehemu ya kusini Visiwa vya Karibi. Antili ndogo ina umbo la pinde kati ya pwani la Venezuela na kisiwa kikubwa cha Puerto Rico.

Jiolojia

Pinde hufuata mstari wa mpaka wa bamba la Karibi. Visiwa vyote ni ya asili ya kivolkeno. Volkeno hai na mitetemeko ya ardhi ni kawaida.

Orodha ya visiwa

Visiwa karibu na pwani la Venezuela: