Chama cha Mapinduzi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4+) (roboti Nyongeza: fr:Chama cha Mapinduzi
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza pl:Chama cha Mapinduzi
Mstari 27: Mstari 27:
[[ja:タンザニア革命党]]
[[ja:タンザニア革命党]]
[[nl:Chama Cha Mapinduzi]]
[[nl:Chama Cha Mapinduzi]]
[[pl:Chama cha Mapinduzi]]
[[ru:Чама Ча Мапиндузи]]
[[ru:Чама Ча Мапиндузи]]
[[sv:Revolutionära statspartiet]]
[[sv:Revolutionära statspartiet]]

Pitio la 10:58, 1 Mei 2012

Chama cha Mapinduzi (CCM) ni chama tawala nchini Tanzania. CCM ilizaliwa 5 Februari, 1977 baada ya kuungana kwa vyama vya Tanganyika African National Union (TANU) kilichokuwa kikitawala Tanzania Bara na Afro-Shirazi Party (ASP) kilichokuwa chama tawala cha Zanzibar wakati huo. Chama cha Mapinduzi kilikuwa kikiongozwa na Mwalimu Nyerere na Afro-Shiraz Party kilikuwa chini ya Amaan Karume.

Itikadi

Kwa miaka mingi CCM ilikuwa ikifuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea. Itikadi hii ilipewa nguvu za kisera mwaka 1967 lilipotangazwa Azimio la Arusha. Kutokana na azimio hilo uchumi uliwekwa mikononi mwa umma. Itikadi hii pia ilisisitiza umuhimu wa kuishi pamoja hasa katika vijiji vya Ujamaa.

Uchaguzi

CCM imekuwa ikishinda chaguzi za Urais toka mfumo wa vyama vingi uliporejeshwa nchini Tanzania. Chama hicho kimekuwa pia kikipata idadi kubwa ya wabunge wa Bunge la Muungano na Baraza la Wawakilishi. Chaguzi za vyama vingi Tanzania baada ya kurejeshwa kwa mfumo huo zilifanyika mwaka 1995, 2000, na 2005.

Uongozi

Katika historia ya CCM kumekuwa na wenyeviti wanne:

Viungo vya nje