Ulafi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: br:Lontegezh, sv:Frosseri
d roboti Nyongeza: el:Λαιμαργία
Mstari 20: Mstari 20:
[[cs:Nestřídmost]]
[[cs:Nestřídmost]]
[[de:Völlerei]]
[[de:Völlerei]]
[[el:Λαιμαργία]]
[[en:Gluttony]]
[[en:Gluttony]]
[[eo:Glutemeco]]
[[eo:Glutemeco]]

Pitio la 05:18, 1 Januari 2012

Sehemu inayohusu ulafi katika mchoro wa Hieronymus Bosch kuhusu vilema vikuu saba na vikomo vinne vya binadamu.
Vilema vikuu

Ulafi (pamoja na ulevi) ni hamu isiyoratibiwa ya kula (na kunywa).

Tabia hiyo ina madhara makubwa kwa afya ya binadamu.

Inakadiriwa kuwa siku hizi mtu 1 kati ya 3 anakula kuliko mwili wake unavyohitaji, na hivyo anasababisha maradhi mbalimbali yampate.

Upande wa maadili unahesabiwa kuwa kimojawapo kati ya vilema vikuu, ambavyo ni mizizi ya dhambi nyingine.