Ulaya ya Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: mr:उत्तर युरोप |
d roboti Nyongeza: ace:Èropah Utara |
||
Mstari 14: | Mstari 14: | ||
[[Category:Ulaya]] |
[[Category:Ulaya]] |
||
[[ace:Èropah Utara]] |
|||
[[af:Noord-Europa]] |
[[af:Noord-Europa]] |
||
[[ar:أوروبا الشمالية]] |
[[ar:أوروبا الشمالية]] |
Pitio la 19:57, 15 Agosti 2009
Ulaya ya Kaskazini ni sehemu ya kaskazini ya bara la Ulaya. Kuna maelezo ya kutofautiana ni nchi zipi ambazo ni sehemu ya kanda hili.
Kwa hakika tamko hili lamaanisha:
- Nchi za Skandinavia pamoja na Denmark, Ufini, Iceland, Norwei na Uswidi, pia visiwa vya Faroe.
- Nchi za Kibalti yaani Estonia, Latvia na Lithuania.
- Mara nyingi ama sehemu ya kaskazini ya Britania (=Uskoti) au funguvisiwa ya Britania yote huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya ya kaskazini yaani Uingereza, Uskoti, Welisi, Ueire na kisiwa cha Man.
- Wakati mwingine hata nchi nyingine kando la Bahari ya Baltiki kama Urusi ya kaskazini-magharibi, Poland ya kaskazini, Ujerumani ya Kaskazini zinahesabiwa humo.