Ulaya ya Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ace:Èropah Utara
Mstari 14: Mstari 14:
[[Category:Ulaya]]
[[Category:Ulaya]]


[[ace:Èropah Utara]]
[[af:Noord-Europa]]
[[af:Noord-Europa]]
[[ar:أوروبا الشمالية]]
[[ar:أوروبا الشمالية]]

Pitio la 19:57, 15 Agosti 2009

Ulaya ya Kaskazini na nchi zinazokubaliwa kwa kawaida kuwa sehemu zake
Kanda za UM linaonyesha visiwa vya Britania kuwa sehemu ya Ulaya ya Kaskazini.

Ulaya ya Kaskazini ni sehemu ya kaskazini ya bara la Ulaya. Kuna maelezo ya kutofautiana ni nchi zipi ambazo ni sehemu ya kanda hili.

Kwa hakika tamko hili lamaanisha:

  • Wakati mwingine hata nchi nyingine kando la Bahari ya Baltiki kama Urusi ya kaskazini-magharibi, Poland ya kaskazini, Ujerumani ya Kaskazini zinahesabiwa humo.