Kicheche : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Masahihisho na picha mpya
Masahihisho katika sanduku
 
Mstari 12: Mstari 12:
| nusuoda = [[Caniformia]] <small>(Wanyama kama [[mbwa]])</small>
| nusuoda = [[Caniformia]] <small>(Wanyama kama [[mbwa]])</small>
| familia = [[Mustelidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[Mustelidae|chororo]])</small>
| familia = [[Mustelidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[Mustelidae|chororo]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[Johann Gotthelf Fischer von Waldheim|Fischer]], 1817
| nusufamilia = [[Mustelinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na chororo)</small>
| nusufamilia = [[Mustelinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na chororo)</small>
| bingwa_wa_nusufamilia = Fischer, 1817
| jenasi = ''[[Galictis]]'' <small>[[Thomas Bell|Bell]], 1826</small><br>
| subdivision = '''Jenasi 4, spishi 6:'''
''[[Ictonyx]]'' <small>[[Johann Jakob Kaup|Kaup]], 1835</small><br>
''[[Poecilogale]]'' <small>[[Oldfield Thomas|Thomas]], 1883</small>
* ''[[Galictis]]'' <small>[[Thomas Bell|Bell]], 1826</small>
''[[Vormela]]'' <small>[[Johann Heinrich Blasius|Blasius]], 1884</small>
** ''[[Galictis cuja|G. cuja]]'' <small>([[Juan Ignacio Molina|Molina]], 1782)</small>
** ''[[Galictis vittata|G. vittata]]'' <small>([[Johann Christian Daniel von Schreber|Schreber]], 1776)</small>
* ''[[Ictonyx]]'' <small>[[Johann Jakob Kaup|Kaup]], 1835</small>
** ''[[Ictonyx libycus|I. libycus]]'' <small>([[Wilhelm Hemprich|Hemprich]] & [[Christian Gottfried Ehrenberg|Ehrenberg]], 1833)</small>
** ''[[Ictonyx striatus|I. striatus]]'' <small>([[George Perry|Perry]], 1810)</small>
* ''[[Poecilogale]]'' <small>[[Oldfield Thomas|Thomas]], 1883</small>
** ''[[Poecilogale albinucha|P. albinucha]]'' <small>([[John Edward Gray|Gray]], 1864)</small>
* ''[[Vormela]]'' <small>[[Johann Heinrich Blasius|Blasius]], 1884</small>
** ''[[Vormela peregusna]]'' <small>([[Johann Anton Güldenstädt|Güldenstädt]], 1770)</small>
}}
}}
'''Vicheche''' au '''cheche''' ni [[mnyama|wanyama]] wa [[jenasi]] mbalimbali katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Mustelidae]]. Wanyama hawa ni miongoni mwa wale wanaotoa vundo mbaya kabisa. Wataalamu wengine wanadai kwamba [[kicheche wa kawaida]] ananuka vibaya kuliko wanyama wote. Vundo hii inatoka [[tezi|matezi]] karibu na [[mkundu]] kama mnyama akitishwa, na kwa kawaida adui atoroka. [[Spishi]] zote zina pua, kidari, tumbo na miguu nyeusi. Zile za [[Afrika]] zina milia myeupe na myeusi mgongoni, zile za [[Amerika]] zina mgongo kijivu na ile ya [[Ulaya]] ina mgongo njano wenye madoa meusi. Vicheche hula wanyama wadogo, [[ndege (mnyama)|ndege]] na [[mjusi|mijusi]], [[mdudu|wadudu]], [[samaki]], [[amfibia]], [[nyoka]] na hata [[tunda|matunda]] na [[nyasi|manyasi]].
'''Vicheche''' au '''cheche''' ni [[mnyama|wanyama]] wa [[jenasi]] mbalimbali katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Mustelidae]]. Wanyama hawa ni miongoni mwa wale wanaotoa vundo mbaya kabisa. Wataalamu wengine wanadai kwamba [[kicheche wa kawaida]] ananuka vibaya kuliko wanyama wote. Vundo hii inatoka [[tezi|matezi]] karibu na [[mkundu]] kama mnyama akitishwa, na kwa kawaida adui atoroka. [[Spishi]] zote zina pua, kidari, tumbo na miguu nyeusi. Zile za [[Afrika]] zina milia myeupe na myeusi mgongoni, zile za [[Amerika]] zina mgongo kijivu na ile ya [[Ulaya]] ina mgongo njano wenye madoa meusi. Vicheche hula wanyama wadogo, [[ndege (mnyama)|ndege]] na [[mjusi|mijusi]], [[mdudu|wadudu]], [[samaki]], [[amfibia]], [[nyoka]] na hata [[tunda|matunda]] na [[nyasi|manyasi]].

Toleo la sasa la 18:06, 27 Novemba 2021

Kicheche
Kicheche-nyoka (Poecilogale albinucha)
Kicheche-nyoka (Poecilogale albinucha)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Caniformia (Wanyama kama mbwa)
Familia: Mustelidae (Wanyama walio na mnasaba na chororo)
Fischer, 1817
Nusufamilia: Mustelinae (Wanyama wanaofanana na chororo)
Fischer, 1817
Ngazi za chini

Jenasi 4, spishi 6:

Vicheche au cheche ni wanyama wa jenasi mbalimbali katika familia Mustelidae. Wanyama hawa ni miongoni mwa wale wanaotoa vundo mbaya kabisa. Wataalamu wengine wanadai kwamba kicheche wa kawaida ananuka vibaya kuliko wanyama wote. Vundo hii inatoka matezi karibu na mkundu kama mnyama akitishwa, na kwa kawaida adui atoroka. Spishi zote zina pua, kidari, tumbo na miguu nyeusi. Zile za Afrika zina milia myeupe na myeusi mgongoni, zile za Amerika zina mgongo kijivu na ile ya Ulaya ina mgongo njano wenye madoa meusi. Vicheche hula wanyama wadogo, ndege na mijusi, wadudu, samaki, amfibia, nyoka na hata matunda na manyasi.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]