Malai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Milk heavy cream B.jpg|thumb|Malai jinsi inavyokaa juu ya maziwa yaliyokamuliwa]] |
[[Picha:Milk heavy cream B.jpg|thumb|Malai jinsi inavyokaa juu ya maziwa yaliyokamuliwa]] |
||
[[Picha:Crème_Chantilly.jpg|thumb|Krimu iliyopigwa]] |
[[Picha:Crème_Chantilly.jpg|thumb|Krimu iliyopigwa]] |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
[[Jamii:Vyakula vya asili Tanzania]] |
[[Jamii:Vyakula vya asili Tanzania]] |
||
[[Jamii: |
[[Jamii:Mapishi]] |
Pitio la 15:06, 8 Mei 2021
Malai (pia krimu kutoka Kiingereza: cream), ni mafuta yanayopatikana kiasili katika maziwa ya wanyama. Baada ya kukamua maziwa, malai hukusanyika kwenye uso wa maziwa kama utandu. Utandu huo hutolewa na kukusanywa.
Malai hutumiwa kutengeneza samli, siagi na jibini. Pia katika upishi na kutengeneza vyakula mbalimbali kama aisikrimu.