Mpunga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d +image #WPWP,#WPWPTZ |
dNo edit summary |
||
Mstari 36: | Mstari 36: | ||
File:Rice-flower,katori-city,japan.JPG|Mpunga wa kiasia (maua) |
File:Rice-flower,katori-city,japan.JPG|Mpunga wa kiasia (maua) |
||
File:Upland vs. paddy farming in China.JPG|Mashamba ya mpunga huko China |
File:Upland vs. paddy farming in China.JPG|Mashamba ya mpunga huko China |
||
File:2017 06 Ali- 00977.jpg|Mashamba ya mpunga nchini |
File:2017 06 Ali- 00977.jpg|Mashamba ya mpunga nchini Kenya |
||
</gallery> |
</gallery> |
||
Pitio la 16:26, 22 Julai 2020
Mpunga (Oryza spp.) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mpunga wa kiasia
| ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Mpunga ni aina ya mimea katika familia ya manyasi (Poaceae). Spishi kadhaa zinapandwa katika sehemu mbalimbali za dunia, lakini mpunga wa kiasia ni ile ya kawaida.
Mpunga ni chanzo cha chakula kwa watu wengi duniani. Punje (mbegu) zake ni nafaka na huitwa mchele. Mchele uliopikwa ni wali.
Spishi
- Oryza barthii, Mpunga-porini wa kiafrika (African wild rice)
- Oryza glaberrima, Mpunga wa kiafrika (African rice)
- Oryza longistaminata, Mpunga stameni-ndefu (Longstamen rice)
- Oryza rufipogon, Mpunga mwekundu (Red rice)
- Oryza sativa, Mpunga wa kiasia (Asian rice)
- Oryza nivara, Mpunga-porini wa kihindi (Indian wild rice)
Picha
-
Mpunga wa kiasia (maua)
-
Mashamba ya mpunga huko China
-
Mashamba ya mpunga nchini Kenya