Kuku-mwamba : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d wikidata interwiki
Subdivision katika sanduku
 
Mstari 4: Mstari 4:
| picha = White-necked Rockfowl (Picathartes gymnocephalus)cropped.jpg
| picha = White-necked Rockfowl (Picathartes gymnocephalus)cropped.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Kuku-mwamba shingo-nyeupe
| maelezo_ya_picha = Kuku-mwamba shingo-nyeupe (''Picathartes gymnocephalus'')
| himaya = [[Animalia]] (Wanyama)
| himaya = [[Animalia]] (Wanyama)
| faila = [[Chordate|Chordata]] (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
| faila = [[Chordate|Chordata]] (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Mstari 14: Mstari 14:
| jenasi = ''[[Picathartes]]''
| jenasi = ''[[Picathartes]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[René-Primevère Lesson|Lesson]], 1828
| bingwa_wa_jenasi = [[René-Primevère Lesson|Lesson]], 1828
| subdivision = '''Spishi 2:'''
| spishi = ''[[Picathartes gymnocephalus|P. gymnocephalus]]'' <small>([[Coenraad Jacob Temminck|Temminck]], 1825)</small><br>
''[[Picathartes oreas|P. oreas]]'' <small>[[Anton Reichenow|Reichenow]], 1899</small>
* ''[[Picathartes gymnocephalus|P. gymnocephalus]]'' <small>([[Coenraad Jacob Temminck|Temminck]], 1825)</small>
* ''[[Picathartes oreas|P. oreas]]'' <small>[[Anton Reichenow|Reichenow]], 1899</small>
| ramani = PicathartesDistribution.svg
| ramani = PicathartesDistribution.svg
| maelezo_ya_ramani = Usambazaji wa kuku-mwamba (pinki=P. gymnocephalus; buluu=P. oreas)
| maelezo_ya_ramani = Msambazo wa kuku-mwamba (pinki=P. gymnocephalus; buluu=P. oreas)
}}
}}
'''Kuku-mwamba''' ni [[ndege (mnyama)|ndege]] wakubwa kiasi wa [[jenasi]] ''[[Picathartes]]'', jenasi pekee ya [[familia (biolojia)|familia]] [[Picathartidae]]. Wanatokea [[msitu|misitu]] ya [[Afrika]] kusini kwa [[Sahara]]. Kuku-mwamba wana domo kubwa kama lile la [[kunguru]] na kichwa bila manyoya chenye rangi kali (nyeusi na njano au nyekundu). Pia wana rangi ya nyeusi au kijivucheusi juu na nyeupe chini. Shingo yao ni nyeupe au ina rangi ya kijivu. Hula [[mdudu|wadudu]], kama [[bungo]], [[mchwa]] na [[sisimizi]], pia [[jongoo|majongoo]], [[tandu]], [[nyungunyungu]], [[konokono]] na hata [[chura|vyura]] na [[mjusi|mijusi]]. Hulijenga tago lao kwa matope chini ya mwamba. Jike huyataga [[yai|mayai]] mawili.
'''Kuku-mwamba''' ni [[ndege (mnyama)|ndege]] wakubwa kiasi wa [[jenasi]] ''[[Picathartes]]'', jenasi pekee ya [[familia (biolojia)|familia]] [[Picathartidae]]. Wanatokea [[msitu|misitu]] ya [[Afrika]] kusini kwa [[Sahara]]. Kuku-mwamba wana domo kubwa kama lile la [[kunguru]] na kichwa bila manyoya chenye rangi kali (nyeusi na njano au nyekundu). Pia wana rangi ya nyeusi au kijivucheusi juu na nyeupe chini. Shingo yao ni nyeupe au ina rangi ya kijivu. Hula [[mdudu|wadudu]], kama [[bungo]], [[mchwa]] na [[sisimizi]], pia [[jongoo|majongoo]], [[tandu]], [[nyungunyungu]], [[konokono]] na hata [[chura|vyura]] na [[mjusi|mijusi]]. Hulijenga tago lao kwa matope chini ya mwamba. Jike huyataga [[yai|mayai]] mawili.
Mstari 27: Mstari 28:
==Picha==
==Picha==
<gallery>
<gallery>
File:PicathartesReichenow.jpg|Kuku-mwamba shingo-nyeupe na shingo-kijivu
PicathartesReichenow.jpg|Kuku-mwamba shingo-nyeupe na shingo-kijivu
</gallery>
</gallery>



Toleo la sasa la 19:33, 27 Mei 2020

Kuku-mwamba
Kuku-mwamba shingo-nyeupe (Picathartes gymnocephalus)
Kuku-mwamba shingo-nyeupe (Picathartes gymnocephalus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Corvoidea (Ndege kama kunguru)
Familia: Picthartidae (Ndege walio na mnasaba na kuku-mwamba)
Jenasi: Picathartes
Lesson, 1828
Ngazi za chini

Spishi 2:

Msambazo wa kuku-mwamba (pinki=P. gymnocephalus; buluu=P. oreas)
Msambazo wa kuku-mwamba (pinki=P. gymnocephalus; buluu=P. oreas)

Kuku-mwamba ni ndege wakubwa kiasi wa jenasi Picathartes, jenasi pekee ya familia Picathartidae. Wanatokea misitu ya Afrika kusini kwa Sahara. Kuku-mwamba wana domo kubwa kama lile la kunguru na kichwa bila manyoya chenye rangi kali (nyeusi na njano au nyekundu). Pia wana rangi ya nyeusi au kijivucheusi juu na nyeupe chini. Shingo yao ni nyeupe au ina rangi ya kijivu. Hula wadudu, kama bungo, mchwa na sisimizi, pia majongoo, tandu, nyungunyungu, konokono na hata vyura na mijusi. Hulijenga tago lao kwa matope chini ya mwamba. Jike huyataga mayai mawili.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]