Tandu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tandu
Tandu kichwa-chekundu
Tandu kichwa-chekundu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia
Faila: Arthropoda
Nusufaila: Myriapoda
Ngeli: Chilopoda
Ngazi za chini

Oda na familia:
Oda Scutigeromorpha

Oda Lithobiomorpha

Oda Craterostigmomorpha

Oda Scolopendromorpha

Oda Geophilomorpha

Tandu ni aina za arithropodi wembamba na warefu katika ngeli Chilopoda ya nusufaila Myriapoda wenye miguu mingi. Wanafanana kijuujuu na majongoo lakini hawa huenda polepole na hula dutu ya viumbehai, viani na kuvu. Tandu huenda mbio na hula wanyama wengine (invertebrati na vertebrati). Hata kama tandu huitwa centipedes (miguu mia) kwa Kiingereza na majongoo huitwa millipedes (miguu elfu), kwa ukweli wana kwa kadiri nambari sawa ya miguu: tandu wana miguu 16 hadi 300 na majongoo 36 hadi 750.

Spishi kadhaa za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]