Robben Island : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
Kipo kwenye orodha ya [[UNESCO]] ya [[Urithi wa Dunia]]. |
Kipo kwenye orodha ya [[UNESCO]] ya [[Urithi wa Dunia]]. |
||
==Tazama pia== |
|||
* [[Orodha ya Urithi wa Dunia katika Afrika]] |
|||
{{mbegu-jio-AfrikaKusini}} |
{{mbegu-jio-AfrikaKusini}} |
||
Pitio la 14:27, 6 Mei 2020
Robben Island ni kisiwa kidogo 12 km mbele ya mji wa Cape Town (Afrika Kusini) katika Atlantiki. Kisiwa kina eneo la hektari 547, urefu ni km 4.5 na upana hadi km 1.5.
Kisiwa kimejulikana kutokana na gereza lake na mfungwa mashuhuri Nelson Mandela. Wafungwa pamoja naye walikuwa Walter Sisulu, Govan Mbeki na Robert Sobukwe.
Siku hizi kisiwa ni makumbusho na hifadhi ya mazingira. Watumishi wanaotembeza wageni ni wafungwa wa zamani.
Kipo kwenye orodha ya UNESCO ya Urithi wa Dunia.
Tazama pia
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika Kusini bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Robben Island kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |