Leucho wa Brindisi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa Oronzo Tiso, Mahubiri ya Leucho, Kanisa kuu la Brindisi.

Leucho wa Brindisi, mzaliwa wa Aleksandria, alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo wa Italia Kusini katika karne ya 4.

Kabla ya hapo alikuwa mmonaki katika nchi yake, Misri.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Januari[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.