Leroy Sané

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sane akiwa Mazoezini

Leroy Aziz Sané (matamshi ya Kijerumani: [liːʁɔʏ zaneː]; alizaliwa 11 Januari 1996) ni mchezaji wa soka wa Ujerumani ambaye anacheza kama mshambuliaji katika timu ya Uingereza Manchester City na timu ya taifa Ujerumani.

Sane alichezea Schalke 04 na sasa yupo Manchester City.

Schalke 04[hariri | hariri chanzo]

Mnamo Machi 21, 2014, Sané alisaini mkataba wa miaka mitatu na Schalke 04 mpaka 30 Juni 2017. Sané alicheza Bundesliga tarehe 20 Aprili 2014 katika mechi dhidi ya VfB Stuttgart.Alicheza dhidi ya Max Meyer na kushindwa 3-1.

Manchester City[hariri | hariri chanzo]

Mnamo Agosti 2, 2016, Sané alijiunga na klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza Manchester City, akisaini mkataba wa miaka mitano kwa £ milioni 37 , na kuongeza nyongeza za utendaji ambazo zinaweza kufikia £ milioni 46.5. Alicheza kwanza Manchester Derby dhidi ya Manchester United na kuibuka na ushindi wa 2-1.Mnamo tarehe 10 september Sane alifunga bao lake la kwanza dhidi ya Arsenal.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Leroy Sané kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.