Laurenti Bai Xiaoman

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Laurenti Bai Xiaoman (Guiyang, 1802 hivi - Maokou 25 Februari 1858) alikuwa fundi wa China aliyefia Ukristo, dini yake mpya, kwa kukatwa kichwa.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 25 Februari[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.