Lang Yangzhi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Lang Yangzhi (Lu, 1871 hivi - Lujiapo, 16 Julai 1900) alikuwa mwanamke mkatekumeni wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia pamoja na mtoto wake pekee, Paulo Lang Fu.

Kwa kuwa alijitambulishwa kama Mkristo, nyumba yake ilichomwa moto wao wakiwa ndani [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.