Nenda kwa yaliyomo

Kungari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake huko Somerset.

Kungari (pia: Cyngar, Cumgar, Cungar, Congar, Kongar, Congard, Concarius; 470 hivi – 520 hivi) alikuwa abati na labda askofu wa Britania ambaye jina lake linatumika kwa makanisa na mahali pengi hadi Bretagne (Ufaransa), lakini pengine kwa kumchanganya na somo wake hadi watatu tofauti [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Novemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Vie de Saint Congard, patron de la paroisse de ce nom au diocèse de Vannes, Vannes, impr. de Lafolye frères, 1911 ISBN 33643569

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.