Kristina wa Persia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kristina wa Persia (alifariki 559[1]) alikuwa mwanamke wa ukoo maarufu wa Uajemi ambaye alijiunga na Ukristo akapigwa viboko akauawa na Wasasanidi chini ya mfalme Kosroe I kwa ajili ya imani yake mpya[2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Machi[4] au kesho yake[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Wilmshurst (2011), p. 494, puts her death around 600, but Fiey (2004) proposes she died much earlier (around 363).
  2. Jeanne-Nicole Mellon Saint-Laurent et al., "Christine Yazdouy (text) — ܟܪܣܛܝܢܐ ܝܙܕܘܝ " in Bibliotheca Hagiographica Syriaca Electronica (2015).
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/44910
  4. Martyrologium Romanum
  5. Christina-Yazdoi, martyr in Persia, The Cult of Saints in Late Antiquity (University of Oxford, 2017).

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • P. Bedjan, ed., Acta Martyrum et Sanctorum, IV (Paris, 1894), pp. 201–207. An edition of Babai's fragmentary biography.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.