Klaro wa Tours

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Panapotunza masalia yake huko Teplice.

Klaro wa Tours (alifariki Tours, Galia, leo nchini Ufaransa, 396 hivi) alikuwa abati wa monasteri aliyoianzisha huko, karibu na mwalimu wake, askofu Martino wa Tours[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 8 Novemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Sulpisi Severi, Maisha ya Mt. Martino, 23.
  2. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.