Kiyue

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiyue (pia Kicantonese) ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uchina inayozungumzwa na Wayue. Mwaka wa 1984 idadi ya wasemaji wa Kiyue nchini Uchina imehesabiwa kuwa watu milioni 52. Pia kuna wasemaji katika nchi zifuatazo: 6250 nchini Brunei (2006), 6,030,000 ndani ya Hong Kong (2006), 180,000 nchini Indonesia (1982), 1,070,000 nchini Malaysia (2000), 9780 nchini Ufilipino (2000), 121,000 nchini Singapuri (2010), 29,400 nchini Uthai (1984), na 862,000 nchini Vietnam (1999). Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kiyue iko katika kundi la Kichina.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiyue kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.