Kituntu (Karagwe)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa maana nyingine ya jina hili angalia Kituntu


Kata ya Kituntu
Nchi Tanzania
Mkoa Kagera
Wilaya Karagwe
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 12,194

Kituntu ni kata ya Wilaya ya Karagwe katika Mkoa wa Kagera, Tanzania, yenye postikodi namba 35416 [1].

Katika kata ya Kituntu kuna maeneo kama: Kituntu, Katembe, Kalala, Kifola, Kamea, Chibugu, Nyambalani, Amgembe n.k.

Ni eneo ambalo limejaa amani.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 12,194 [2]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 12,970 waishio humo.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-08-05. Iliwekwa mnamo 2018-02-01. 
  2. https://www.nbs.go.tz, uk 170
  3. Sensa ya 2012, Kagera - Karagwe-District-Council
Kata za Wilaya ya Karagwe - Mkoa wa Kagera - Tanzania

Bugene | Bweranyange | Chanika | Chonyonyo | Igurwa | Ihanda | Ihembe | Kamagambo | Kanoni | Kayanga | Kibondo | Kihanga | Kiruruma | Kituntu | Ndama | Nyabiyonza | Nyaishozi | Nyakabanga | Nyakahanga | Nyakakika | Nyakasimbi | Rugera | Rugu

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kagera bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kituntu (Karagwe) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.