Kifaa michoro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Orodha ya vifaa michoro vyote vya programu inaitwa GTK+ toleo 2

Katika utarakilishi na katika kiolesura michoro cha mtumiaji, kifaa michoro au kipengee michoro ya kidhibiti (kwa Kiingereza: graphical widget au graphical control element) ni kipengee cha maingiliano, kama kitufe au mwambaa biringizi. Kifaa michoro ni kijenzi cha programu kinachotumika ili kuingilia tarakilishi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).