Kitufe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Aina mbalimbali ya vitufe katika programu inaitwa Gimp.

Katika utarakilishi, kitufe (kwa Kiingereza: button, command button au push button) ni kifaa michoro kinachoruhusu mtumiaji kuanzisha tukio fulani kama kunakili na kubandika au kufunga dirisha.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).