Kunakili na kubandika

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Kunakili na kubandika" inatumia neno ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio kwa jambo linalotajwa.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.

Nembo ya kukata, kunakili na kubandika kwenye ERP5.

Katika utarakilishi, kunakili na kubandika (kwa Kiingereza: copy and paste) ni amri ya tarakilishi inayowezesha kuhamisha data au nakala.

Kukata na kubandika (cut and paste) ni amri nyingine tofauti.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.