Dirisha la amri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Dirisha la amri kwenye Linux.

Katika utarakilishi, dirisha la amri (kwa Kiingereza : "command-line window") linatekelezea amri kwa programu ya tarakilishi. Mifumo ya uendeshaji yote ina dirisha la amri.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.