Kié-Ntem
Mandhari
| Kié-Ntem | |
| Nchi | Equatorial Guinea |
|---|---|
| Makao makuu | Ebebiyín |
| Eneo | |
| - Jumla | 3,943 km² |
| Idadi ya wakazi (2015) | |
| - Wakazi kwa ujumla | 183,331[1] |
Kié-Ntem ni mkoa wa Guinea ya Ikweta . Mji mkuu wake ni Ebebiyín .
Mkoa huo ni sehemu ya kanda la Rio Muni lililopo kwenye sehemu ya bara ya nchi. Kié-Ntem inapakana na tarafa zifuatazo za nchi:
- Kanda ya Kusini, Kamerun - kaskazini
- Mkoa wa Woleu-Ntem, Gabon - mashariki
- Wele-Nzas, Guinea ya Ikweta - kusini
- Centro Sur, Guinea ya Ikweta - magharibi
Mkoa ulichukua jina lake kutoka Mto Kié na Mto Ntem (Campo).
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Censo de población 2015–República de Guinea Ecuatorial" (PDF) (kwa Kihispania). INEGE. uk. 7. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 8 Oktoba 2017. Iliwekwa mnamo 8 Oktoba 2017.
{{cite web}}: More than one of|archivedate=na|archive-date=specified (help); More than one of|archiveurl=na|archive-url=specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
