Nenda kwa yaliyomo

Karen Pini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Karen Jo Pini (alizaliwa tarehe 30 Julai 1957)[1] Ni mwigizaji, Mwanamitindo, Mtu mashuhuri wa televisheni, na mshindi wa taji la mashindano ya urembo kutoka Australia. Aliiwakilisha nchi yake katika mashindano ya Miss World mwaka 1976 yaliyofanyika London Uingereza na kumaliza katika nafasi ya pili. Pia alikuwa centerfold aliyejitokeza uchi katika toleo la kwanza la jarida la Australian Playboy la Australia mnamo Februari 1979. Pini pia alikuwa mshirika mwenza wa droo ya bahati nasibu ya New South Wales iliyokuwa ikirushwa kwenye televisheni kila wiki kwa miaka kumi na miwili.[2][3]



  1. "You wanted to know with Kevin Schluter", National Library of Australia, 26 November 1980, p. 178 Supplement: Free Your TV magazine. 
  2. Tisdell, Lisa. "Karen Pini finds her Home in the Haven", Fairfax Media, 23 October 2013. 
  3. "In Brief", National Library of Australia, 10 March 1976, p. 3. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Karen Pini kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.