Kameliano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kameliano (kwa Kifaransa: Camélien; karne ya 5 - Troyes, leo nchini Ufaransa, 536 hivi) alikuwa askofu wa 9 wa mji huo kuanzia mwaka 479, baada ya mlezi wake Lupo wa Troyes [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.