Judikaeli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake huko Paimpont.

Judikaeli (590 hivi - Bretagne, leo nchini Ufaransa, 659 hivi) alikuwa mfalme wa Bretagne kabla ya kwenda tena kuishi monasterini. Akiwa madarakani alijitahidi sana kupatanisha wananchi wake na wavamizi Wafaranki[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Desemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Bibliotheca hagiographica latina, vol. I, n. 4504.
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.