Judikaeli
Mandhari

Judikaeli (590 hivi - Bretagne, leo nchini Ufaransa, 659 hivi) alikuwa mfalme wa Bretagne kabla ya kwenda tena kuishi monasterini.
Akiwa madarakani alijitahidi sana kupatanisha wananchi wake na wavamizi Wafaranki[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Desemba[3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Bibliotheca hagiographica latina, vol. I, n. 4504.
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/92638
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Chardonnet, Joseph. Livre d'or des saints de Bretagne. Rennes: Armor-Éditeur, 1977. See esp. pp. 139–42.
- Smith, Julia M. H. (2 Novemba 2006). Province and Empire: Brittany and the Carolingians. Cambridge University Press. ku. 5–. ISBN 978-0-521-03030-4.
{{cite book}}: Invalid|ref=harv(help)CS1 maint: date auto-translated (link) - "Bibliotheca hagiographica latina antiquae et mediae aetatis". 1898. Bibliotheca Hagiographica Latina, 4503
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
