Kilopwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Jacquemontia tamnifolia)
Kilopwe
(Jacquemontia tamnifolia)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Asterids (Mimea kama alizeti)
Oda: Solanales (Mimea kama mnavu)
Familia: Convolvulaceae (Mimea iliyo na mnasaba na kiazi kitamu)
Jenasi: Jacquemontia
Choisy
Spishi: J. tamnifolia
(L.) Griseb.

Kilopwe au kikopwe (Jacquemontia tamnifolia) ni mmea katika familia Convolvulaceae unaofanana na kiazi pori na kwa hivyo unatambaa juu ya vichaka na miti. Maua yake ni buluu.

Picha[hariri | hariri chanzo]