Heimo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Heimo.

Heimo (pia: Heimerad, Heimrad, Haimrad; Meßkirch, Baden, Ujerumani, 970 hivi - Burghasungen, 28 Juni 1019) alikuwa padri ambaye baada ya kufukuzwa monasterini aliishi bila makao maalumu kwa ajili ya Kristo, hadi alipokwenda upwekeni [1]. Mwenendo wake wa ajabuajabu ulimfanya adharauliwe na kudhulumiwa na wengi, lakini yeye hakupotewa na utulivu wake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 28 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Ekkebert von Hersfeld: Vita sancti Haimeradi, ed. R. Köpke, in: Monumenta Germaniae Historica, Scriptores in folio, Bd. 10.
  • Hagen Keller: Adelsheiliger und pauper Christi in Ekkeberts Vita sancti Haimeradi. In: Josef Fleckenstein, Karl Schmid (Hrsg.): Adel und Kirche. Gerd Tellenbach zum 65. Geburtstag. Freiburg 1968, S. 307–323.
  • Tilman Struve: Hersfeld, Hasungen und die Vita Haimeradi. In: Archiv für Kulturgeschichte. Band 51, Heft 2, 1969, S. 210–233.
  • Christoph Witt: Der heilige Heimrad von Meßkirch. Pilger, Priester, Einsiedler. Gmeiner, Meßkirch 2009, ISBN 978-3-8392-1032-1.
  • Peter Ebner: Heimrad. verachtet – geliebt – heilig. Erzählung. Sales, Eichstätt 1997, ISBN 3-7721-0197-6.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.